WELCOME ALL

Gonga Hapa.

Tuesday, April 30, 2013

Maisha ni kusaidiana

WELCOME TO KUNAMBI BLOG!!!

Suala la Maisha ni kusaidiana na si eti kwa sababu mwanamke ameolewa basi baba unakua mtu wa kutoa amri tu ndani ya nyumba,hiyo hapana kuna mda mwengine mama nae anakua kachoka pia so yatupasa kina baba kuelimika na kusaidia wake zetu


hapo zamani ilikua ikisadikika kua mwanamke ni chombo cha starehe tu lakini si sahihi kwa sababu mwanamke ndio mlezi mkuu wa familia nzima,sasa basi yatupasa kuwapenda,kuwaheshimu,kuwatunza na kuwasaidia pia.

No comments: